
Waziri
wa Habari, sanaa, Utamaduni na Michezo, Nape Nnaye akizungumza katika
uzinduzi wa mashindano ya magari jijini Dar es Salaam leo.

Waziri
wa Habari, sanaa, Utamaduni na Michezo, Nape Nnaye akiwa amenyanyua
bendera ya Taifa juu kuashiria uzinduzi wa Mashindano ya Mbio za Magari
ya 2016 jijini Dar es Salaam leo .Kulia kwa Nape ni Katibu wa Balaza la
Michezo Tanzania(BMT), Mohamed Kiganja.